nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
[h=3]MTOTO WA MKULIMA MIZENGO PINDA AWAJULIA HALI WABUNGE WA CHADEMA NASARI, NAMELOK HOSPITALINI ARUSHA.[/h]
[h=3][/h]
Waziri mkuu, Mizengo Pinda akimpa pole mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nasari ambaye amelazwa katika hospitali ya Serian Arusha anakotibiwa kwa madai ya kushambuliwa na wananchi eneo la Makuyuni. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri mkuu, Mizengo Pinda akimpa pole Mbunge wa Viti Maalum, Namelok Sokoinine aliyelazwa kwenye hospitali ya Serian Arusha baada ya kuvunjika mguu akiwa nyumbani kwake. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
[h=3]HII NI TASWIRA YA VURUGU ZA ARUSHA BAADA YA POLISI KUWATAWANYA WANANCHI ENEO LA SOWETO HALI ILIKUWA HIVI.[/h]
ASKARI WAKIWA WAMEIMARISHA ULINZI.
VIZUIZI MBALIMBALI VIKIWA VIMEWEKWA BARABARANI WAKATI WA VUR
UGU ZA WANANCHI NA POLISI JIJINI ARUSHA LEO.
VIZIWIZI MBALIMBALI VIKIWA VIMEWEKWA BARABARANI WAKATI WA VURUGU ZA WANANCHI NA POLISI JIJINI ARUSHA LEO.
MOTO UKIWA UNAWAKA KATIKATI YA BARABARA WAKATI WA VURUGU HIZO
WASAMALIA WEMA WAKIMSAIDIA MTOTO BAADA YA KUTOKA VURUGU HUKU NYUMA YAO KUKIWA NA KUNDI KUBWA LA ASKARI.
Sehemu ya umati wa waombolezaji wa wahanga wa mlipuko wa bomu wakiwa katika viwanja vya Soweto mjini Arusha wakiwa kwenye maombolezo muda mfupi kabla ya polisi kuwatawanya na kuwapiga mabomu ambapo inadaiwa kuwa watu wawili wamepoteza maisha na majeruhi wasiojulikana huku wabunge wawili wakidaiwa kushikiliwa na jeshi la polisi akiwemo Mh Tindu Lissu na Mh Mustapha Akoonay kutokana na vurugu hizo.
MHE TUNDU LISSU HII NI PICHA YA MAKTAABA .
[h=3] EDWARD LOSSAWA ANUSURIKA KUUAWA.[/h]
WAZIRI MKUU MSTAAFU EDWARD LOWASSA.WW.JUMAMTANDA.BLOGSPOT.COM
[h=3][/h]
[h=3]HII NI TASWIRA YA VURUGU ZA ARUSHA BAADA YA POLISI KUWATAWANYA WANANCHI ENEO LA SOWETO HALI ILIKUWA HIVI.[/h]
UGU ZA WANANCHI NA POLISI JIJINI ARUSHA LEO.
[h=3] EDWARD LOSSAWA ANUSURIKA KUUAWA.[/h]
WAZIRI MKUU MSTAAFU EDWARD LOWASSA.WW.JUMAMTANDA.BLOGSPOT.COM