Watoto wa siku hizi wanawahi sana kujua vitu, be careful!aisee,ukimuuliza huyo dog hata chadema ni kitu gani hajui,anakunyooshea hivyo vidole.
Sio mtoto tu hata mimi hapa ukiniuliza sijui chochote maana ya kunyoosha vidole kinamna ile,zaidi najua ni namna majizi hutumia vidole hivyo kuchomoa pesa kwa mifuko ya watuaisee,ukimuuliza huyo dog hata chadema ni kitu gani hajui,anakunyooshea hivyo vidole.
Watoto wa siku hizi wanawahi sana kujua vitu, be careful!
PICHA NZURI.
eti dog?aisee,ukimuuliza huyo dog hata chadema ni kitu gani hajui,anakunyooshea hivyo vidole.