Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nadhani Walimu wameridhika na hali hiyo. La sivyo, tusingewaona kila mara wakisimama na ''status quo''
Kila inapotokea fursa ya mabadiliko walimu wamekwenda kinyume nayo!
Kama wanadhani bado ipo nafasi ya kuinua hali zao inabidi kila mara waangalie kalenda.
Ikifika 2015 waseme this is the moment!
Mwalimu aliyeanza kazi 2011 ana uwezo wa kujenga nyumba?Hakuna kipengele kinachomkataza mtumishi wa umma kupanga nyumba; au kujijengea kama haridhiki na nyumba aliyopewa na mwajiri wake.
Chama Gongo la mboto DSM
ndio sababu kuna serikali za vijiji; viongozi wa vijiji kwa kushirikiana na wanavijiji husika wanaweza kabisa kutatua tatizo hili serikali kuu haiwezi kuwa kwenye kila kijiji hili ni tatizo ambalo wananchi wenyewe kwa kushirikiana na wabunge wao wanaweza kulifanyia kazi wanakijiji wanaweza kujitolea kufyatua matofali ya kuchoma mbunge akatoa mabati, hali kadhalika wananchi kutoka vijiji wenye vijinafasi hatukatazwi kuchangia maendeleo ya vijiji vyetu. Mkuu Nguruvi3 umeacha siasa na kuwa mwanaharakati turudi kwenye siasa tujenge nchi yetuMwalimu aliyeanza kazi 2011 ana uwezo wa kujenga nyumba?
Nyumba za kupanga zinapatikana huko vijijini kama zinavyopatikana mijini?
mbona hao wana nafuu jalibu kusogea ukonga uone nyumba za askari magereza.
Hakuna kipengele kinachomkataza mtumishi wa umma kupanga nyumba; au kujijengea kama haridhiki na nyumba aliyopewa na mwajiri wake.
Chama
Gongo la mboto DSM
Kuumbe! hata mimi kwa kiasi fulani ninaelewa ulivyoelewa. Ninatatizika pale serikali iliyopo madarakani inapotoa ahadi za kuwajengea nyumba kila karibu na uchaguzi.ndio sababu kuna serikali za vijiji; viongozi wa vijiji kwa kushirikiana na wanavijiji husika wanaweza kabisa kutatua tatizo hili serikali kuu haiwezi kuwa kwenye kila kijiji hili ni tatizo ambalo wananchi wenyewe kwa kushirikiana na wabunge wao wanaweza kulifanyia kazi wanakijiji wanaweza kujitolea kufyatua matofali ya kuchoma mbunge akatoa mabati, hali kadhalika wananchi kutoka vijiji wenye vijinafasi hatukatazwi kuchangia maendeleo ya vijiji vyetu. Mkuu Nguruvi3 umeacha siasa na kuwa mwanaharakati turudi kwenye siasa tujenge nchi yetu
Chama Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums