wwww
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 350
- 252
Hivi mbunge wa Jimbo hilo ni nani? Sio yule mzee wa misifa Mhe. Dkt Harrison Mwakyembe? Ana mikakati gani hasa kutumia tu zile fedha za mfuko wa jimbo? Wananchi wa Kyela mnachagua mtu kwa kuangalia fedha anazotoa wakati wa kampeni hamuangalii maisha yenu na watoto wenu baada ya uchaguzi yatakuwaje. Hiyo ni moja tu lkn karibuni nyumba zote za walimu hasa wa shule za Msingi ni majanga.
Amukeni na mfanye maamuzi sahihi la sivyo mtaendelea kulialia maisha yenu yote.
Amukeni na mfanye maamuzi sahihi la sivyo mtaendelea kulialia maisha yenu yote.