Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
JIJI LA DUBAI WAKATI WA USIKU. <hr style="color: rgb(255, 255, 255); background-color: rgb(255, 255, 255);" size="1"> <!-- / icon and title --> <!-- message -->
Baada ya kupotea hiki kizazi miaka 2000 ijayo tuote itakuwa hivyo Dar
Baada ya kupotea hiki kizazi miaka 2000 ijayo tuote itakuwa hivyo Dar
hili ni jiji la dubai, nilifikiri mtu ataweka jiji la Dar es salaam, Majengo ya Dubai yanatusaidia nini sisi? mbona kuna miji mizuri kuliko huu uliouweka hapa? hata kama ni pazuri, mioyo yao ingekuwa mizuri tungesema safi...lakini walivyo na roho mbaya watu wa hapo....kwa wale ambao wanaifahamu Dubai, ni vigumu sana kufanya biashara hapo bila kutoa fungu la kumi kwa mkataba kwa partner yeyote raia wa hapo ambaye wakati wowote akichoka na wewe anaweza kuiambia selikali kuwa anavunja mkataba...ni vigumu sana kwenda kuweka kampuni lako hapo....vivyo hivyo, wanawatesa sana mahouse maid wa ufilipino na nchi zingine za Asia, na africa...they rape them, they lock them ndani ya nyumba kwa miezi, wanawapa mimba na wakati wowote wakiwachoka wanapiga tu simu kuwa wanavunja mkataba na hao mahousegelo....nakwambia hapo fanya biashara ya kupita tu, ila si kwenda hapo unataka kwenda kuwekeza ati, labda uwe bilionea...kama hohehae toka tz hapo unaenda na tumilioni twako, utalia mchozi...i mean kufungua kampuni kama wao wanavyofanya hapa tz...nenda nunua tu kwenye maduka yao waliyoweka wao hautajua kitu ila ukitaka na wewe ushindane nao kufanya biashara ya ukazi hapo, hamna kitu. si unajua waarabu..