Asante mkuu kwa habari picha!! Ila kusema kweli hilo jukwaa sijalipenda hata kidogo,hilo linamfaa mtu kama maji marefu,siyo mtu aliyekamilika kama Nassary,najitolea kumpatia jukwaa lenye hadhi itakayokaribia haiba yake nisingependa kumuona juu ya jukwaa hilo tena,hongera Nassary kwa kuwa pamoja na wapiga kura wako, viva cdm,viva Ar meru.