Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,603
- 29,743
Kama waziri mwenye dhamana ameshatoa maelekezo kunahitajika mahakama tena?
Je wapinzani wameshaenda mahakamani?
Nadhani tamko la Waziri Jafo lina nguvu za kisheria lakini inahitajika kwanza maridhiano ya kisiasa kabla ya lolote kutamkwa ama kufanyika
Je wapinzani wameshaenda mahakamani?
Nadhani tamko la Waziri Jafo lina nguvu za kisheria lakini inahitajika kwanza maridhiano ya kisiasa kabla ya lolote kutamkwa ama kufanyika