Picha: Nakala ya Hati ya Muungano: Je, wanaoupigania wanafahamu makubaliano muhimu haya?

USSR

JF-Expert Member
Jul 15, 2015
9,888
22,646
Nimepitia hizi picha zinazodaiwa kuwa huu ndio mkataba wa makubaliano ya muungano wa tanganyika na Zanzibar kati ya Julius Nyerere na shekhe Abeid Amani karume umejaa mambo muhimu na yamsingi na kuufanya muungano huu kuwa imara

Sasa ni zaidi ya nusu karne muungano hu mkongwe umazidi kuimarika na kuzaa amani na kupaa kwa uchumi wa pande zote

Ukisoma kwa umakini utajua hakukuwa na ulaghai wala hila katika hati hii na makubaliano haya

Mungu utunze muungano huu imara


USSR
IMG-20201011-WA0045.jpg
IMG-20201011-WA0044.jpg
IMG-20201011-WA0043.jpg
 

Attachments

  • IMG-20201011-WA0045.jpg
    IMG-20201011-WA0045.jpg
    73.2 KB · Views: 2
Mkuu wanasema mzee Karume hakujua kusoma wala kuandika kiingereza
So mkataba ni batili
Doctrine of none est fuctum
Siyo kweli kuwa Karume alikuwa hajui kusoma wala kuandika; yule alikuwa ni baharia mzoefu aliyekuwa amesafiri nchi nyingi sana duniani katika meli mbalimbali, asingeweza kufanya kazi hiyo bila kujua kusoma, kuandika na kuongea kiingereza. In fact wakati wa ukoloni watu wengi walikuwa wanoangea kiingereza vizuri sana kwa elimu ya msingi tu kuliko leo.
 
Wee mwenyewe umeona kwa wanaojua mapungufu ya muungano wanaojua wanakwambia katafute sahihi ya Karume uje ulinganishe na hii ndio utakapojua ulanghai wenu
 
Siyo kweli kuwa Karume alikuwa hajui kusoma wala kuandika; yule alikuwa ni baharia mzoefu aliyekuwa amesafiri nchi nyingi sana duniani katika meli mbalimbali, asingeweza kufanya kazi hiyo bila kujua kusoma, kuandika na kuongea kiingereza. In fact wakati wa ukoloni watu wengi walikuwa wanoangea kiingereza vizuri sana kwa elimu ya msingi tu kuliko leo.
Fwatilia mkuu unaweza kuja na jibu sahihi
 
Mtaangaika Sana kijana acha kuchezea maslahi ya wazanzibar kwa buku7 ya Lumumba.
 
Sasa chukua huo mkataba halafu njoo uulinganishe na hichi kilichopo sasa ndio utaelewa ni kwanini tunasema CCM ni matapeli na ndio utaelewa kwanini wazanzibar wengi wanauchukia huu muungano.

Kwa kukupa hints tu, unapaswa kufahamu haya kuhusu huo mkataba wa muungano.

1. Mchakato wake uliendeshwa kisirisiri na haraka haraka sana. (Ilikuwa ni siri ya Nyerere na Karume ukiwahusisha watu wachache sana wa karibu yao.)

2. Wananchi hawakupewa nafasi ya kuulizwa na kuamua (Hakukuwa na mjadala wa kitaifa wala kura ya maoni).

3. Ulihusisha mambo kumi na moja tu ya muungano. (Leo hii mambo ya muungano yapo zaidi ya 23)
 
Siyo kweli kuwa Karume alikuwa hajui kusoma wala kuandika; yule alikuwa ni baharia mzoefu aliyekuwa amesafiri nchi nyingi sana duniani katika meli mbalimbali, asingeweza kufanya kazi hiyo bila kujua kusoma, kuandika na kuongea kiingereza. In fact wakati wa ukoloni watu wengi walikuwa wanoangea kiingereza vizuri sana kwa elimu ya msingi tu kuliko leo.
Kweli kabisa, nilikuwa na mjomba wangu alikuwa amefanya kazi kwenye garage ya mzungu wakati huo wa ukoloni alikuwa anatiririka lugha hiyo nadhani mzee wa PhD akikutana naye hangeweza kumuelewa na hakuwa amesoma
 
Nimepitia hizi picha zinazodaiwa kuwa huu ndio mkataba wa makubaliano ya muungano wa tanganyika na Zanzibar kati ya Julius Nyerere na shekhe Abeid Amani karume umejaa mambo muhimu na yamsingi na kuufanya muungano huu kuwa imara

Sasa ni zaidi ya nusu karne muungano hu mkongwe umazidi kuimarika na kuzaa amani na kupaa kwa uchumi wa pande zote

Ukisoma kwa umakini utajua hakukuwa na ulaghai wala hila katika hati hii na makubaliano haya

Mungu utunze muungano huu imara


USSRView attachment 1597169View attachment 1597173View attachment 1597175
Sawa sasa nimekuelewa
 
Back
Top Bottom