Nzi ni nyuki mjinga
JF-Expert Member
- Jan 13, 2020
- 1,074
- 1,553
Kwann Kenya huwa mnapenda sana kuilink Tz kwenye maendeleo yenu?
Kenya ni kama mtoto mzuriiii mwenye kipato na ajira nzuri anayempenda mnyamwezi Tanzania, Jabali lenye kipato cha chini kidogo ila mnyamwezi hasa. sasa Kenya hawezi kufanya kitu bila kujipitisha kwa Tanzania na kuonyesha, ilimradi tu amtaje taje, Tz amuone amsemeshe.
Kenya ni kama mtoto mzuriiii mwenye kipato na ajira nzuri anayempenda mnyamwezi Tanzania, Jabali lenye kipato cha chini kidogo ila mnyamwezi hasa. sasa Kenya hawezi kufanya kitu bila kujipitisha kwa Tanzania na kuonyesha, ilimradi tu amtaje taje, Tz amuone amsemeshe.