Bahati mbaya hujuma zao zimeshindwa tena vibaya sana...Kwa hali hii c.c.m wana haki ya kushirikiana polisi kuihujumu chadema.
Mbona hiki chama kimekuwa tishio kwa uhai wa c.c.m na washirika wake?
Mumgu ibariki chadema ,mungu bariki wana chadema.
Uwanja lazima uwe ni mashujaa labda mda ndio inabidi tupate