MUSIGAJI
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 2,186
- 2,455
Wakuu, Nimekuwa nikipata shida na timu ya ushindi ya Ukawa,mpaka sasa hakuna picha na mabango makubwa ya Mh Lowasa,Picha hizi zina maana kubwa sana.
Kuna mabango ya ukawa yale ya MABADILIKO ni sawa lakini mabango haya si kila mtu anayeweza kuyaelewa kwa haraka.Chondechonde Wakuu mnaohusika Picha za mgombea zina maana kubwa.
Kuna mabango ya ukawa yale ya MABADILIKO ni sawa lakini mabango haya si kila mtu anayeweza kuyaelewa kwa haraka.Chondechonde Wakuu mnaohusika Picha za mgombea zina maana kubwa.