Mtela Mwampamba
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 537
- 347
Naibu katibu Mkuu wa CCM Mh.Mwigulu Nchemba akilakiwa na Bibi mwanachama wa CCM eneo la mkutano kaloleni jijini Arusha |
Naibu katibu mkuu wa CCM Mh.mwigulu Nchemba akilakiwa na mgombea UDiwani wa kata ya kaloleni kwa tiketi ya CCM Ndugu Emmanuel Thomas |
Naibu katibu mkuu wa CCM Mh.Mwigulu Nchemba akisaini kitabu cha wageni baada ya kuwasili kwenye mkutano wa hadhara kwaajili ya kampeni za uchaguzi wa Udiwani kata ya kaloleni jijini Arusha |
CCM inalea na kukuza watoto kwaajili ya taifa lenye Heshima na ustaarabu siku za Usoni.Hawa na Vijana wa CCM wakisoma ngonjera mbele ya naibu katibu mkuu wa CCM Mh.Mwigulu Nchemba |
Kushoto ni aliyekuwa diwani wa CHADEMA Ndugu Rehema sasa ni kada mtiifu wa CCM.Kulia ni Mgombea Udiwani kwa tiketi ya CCM ndugu Emmanuel Thomas |
Bi.Juliana shonza akisisitiza kwamba hakuna chama kama CCM,CCM ni chama chenye mlengo wa kitaifa kimaendeleo.CCM ni chama tawala na kinamaslahi jamii |
Naibu katibu Mkuu wa CCM Mh.Mwigulu Nchemba akimnadi mgombea udiwani kata ya kaloleni kwa tiketi ya CCM Ndugu Emmanuel Thomas |