Picha: Mtoto wa Rugemarila akila ujana na msanii Rihana ulaya

MJITA HALISI 176

JF-Expert Member
Oct 8, 2014
537
146
Ni baada ya kupata mgao wa mabillion ya pesa za Escrow alizopewa na babake .
attachment.php
 

Attachments

  • 1417716249173.jpg
    1417716249173.jpg
    96.5 KB · Views: 12,036
Sometime najiuliza watu kweli wanachukia ufisadi au wanatamani wangekuwa wao ndo wamepiga deal kama ya escrow? Do we hate them or envy them?

That is a very good question. On my point of view l think envy is what kills majority of us
 
Sometime najiuliza watu kweli wanachukia ufisadi au wanatamani wangekuwa wao ndo wamepiga deal kama ya escrow? Do we hate them or envy them?

Mkuu, kama kweli hela walizopiga ni za IPTL na si mali ya umma basi jamaa wamelamba dume!
 
Kibaya zaidi, wanaenda kuzitumia kijinga. Unajua walau angelijenga kiwanda na kutoa ajira kwa Watanzania, unamuona wa maana, sasa kwenda kupigana Rihanna, kwanza wameshasugua sana akina Chris.
Pia watu kama Rihanna, utafilisika tu maana inabidi uwe ni mtu unayeingiza ki-Ruge kwa siku (1 Ruge = 40.4M.)

Acha amufilisi Baba yake na mwisho ndiyo hela zetu zinakwenda kwa Obama.

Sometime najiuliza watu kweli wanachukia ufisadi au wanatamani wangekuwa wao ndo wamepiga deal kama ya escrow? Do we hate them or envy them?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom