MJITA HALISI 176
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 537
- 146
Sometime najiuliza watu kweli wanachukia ufisadi au wanatamani wangekuwa wao ndo wamepiga deal kama ya escrow? Do we hate them or envy them?
Jina lake tafadhali...wabongo huwa twalishana sumu kirahisi mno.
Sometime najiuliza watu kweli wanachukia ufisadi au wanatamani wangekuwa wao ndo wamepiga deal kama ya escrow? Do we hate them or envy them?
Hebu tupatie ushahidi , tukapumzike! Porojo zinachosha ati!
Ni baada ya kupata mgao wa mabillion ya pesa za Escrow alizopewa na babake .
Sometime najiuliza watu kweli wanachukia ufisadi au wanatamani wangekuwa wao ndo wamepiga deal kama ya escrow? Do we hate them or envy them?
Tazama pictures menu