Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Kamanda Neema Kambona wengi sana tunamfahamu na kumkubali sana harakati zake kulinda haki za binadamu nchini akitokea kwenye ofisi yake iliozoeleka kwa vijana wengi paleTANGI BOVU kushoto njiani kuelekea Tegeta jijini Dar es Salaam.
Tafadhali Mh Dr Slaa, mwingize huyu kijana mwenzetu Neema Kambona pamoja na yule Mama Winifrida John wa kule Nyololo mkoani Iringa kuingia moja kwa moja kwenye listi ya akinadada chipukizi wa chama wanaohitaji kuandaliwa vizuri ili kuja kuwa kama Kamanda Chiku Abwao, Owenya, Kiwelu na Mhe Mbunge wa Kawe, nikiwataja japo kwa uchache tu.
Tafadhali Mh Dr Slaa, mwingize huyu kijana mwenzetu Neema Kambona pamoja na yule Mama Winifrida John wa kule Nyololo mkoani Iringa kuingia moja kwa moja kwenye listi ya akinadada chipukizi wa chama wanaohitaji kuandaliwa vizuri ili kuja kuwa kama Kamanda Chiku Abwao, Owenya, Kiwelu na Mhe Mbunge wa Kawe, nikiwataja japo kwa uchache tu.