nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
SATURDAY, DECEMBER 8, 2012
MTOTO WA MIAKA SABA AACHIWA MTOTO MCHANGA NA MWANAMKE ASIYEJULIKANA MBEYA
MTOTO WA MIAKA SABA AACHIWA MTOTO MCHANGA NA MWANAMKE ASIYEJULIKANA MBEYA
Upendo Mwakipunda mwalimu wa shule ya msingi mbata amekiri kutokea kwa tukio hilo kweli walimpokea mtoto huyo na kumpeleka kituo cha polisi |
Tukiwa na mtoto sharifu baada ya kuongeanae habari kamili ya tukio hili tutawaletea jumatatu mara baada ya kufuatilia polisi na hospitali ya rufaa Mbeya |
Kwa ujumla baada ya kumaliza maongezi tulianza kuona jinsi watoto wakiwa katika michezo mbalimbali shuleni hapo dogo katulia dirishani mwa darasa lake huku akipata embe kwa raha zake |