Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia upasuliwe Tezi Jike .......Vibaraka wa wazungu wanahangaika sana
Vibaraka wa wazungu wanahangaika sana
Chadema wameenda kuomba misaada kwa wakoloni wa kijerumani. Chadema wanaaibisha Taifa kwa tabia yao ya kuomba omba
Vibaraka wa wazungu wanahangaika sana
yaani kitu pekee ambacho huwa nawashangaa chadema wangu ni pale wanapomwamini prof safari, prof aliyekuwa cuf, prof mwanasheria asiyeshinda hata kesi moja mahakamani, prof mwanasheria ambaye amekosa kazi, hauziki vyuoni wala mahakamani hana wateja, mtu wa maandamano kuilaani israel na mwislam mwenye msimamo mkali kuliko waislam wanasheria wote Tanzania. huo uislam wake mimi simhukumu, ni imani yake, ila naongea kwasababu namfahamu kwa karibu, ni moja wapo wa watu wanaounga mkono type za kina ponda, na al shababu etc. amekosa kibarua hivi mnafikiri hapo anatafuta kutengeneza chama au? na ninyi chadema mmekosa watu?View attachment 208798View attachment 208798View attachment 208798Hii ni hoteli maarufu kwa mikutano ya kimataifa ......walikutana na ujumbe maalum kwa masaa kadhaa.
Chadema wameenda kuomba misaada kwa wakoloni wa kijerumani. Chadema wanaaibisha Taifa kwa tabia yao ya kuomba omba
Vibaraka wa wazungu wanahangaika sana
Usikute hawa wajinga wanaifanyia udalali nchi yetu!
Vibaraka wa wazungu wanahangaika sana
Usikute hawa wajinga wanaifanyia udalali nchi yetu!
yaani kitu pekee ambacho huwa nawashangaa chadema wangu ni pale wanapomwamini prof safari, prof aliyekuwa cuf, prof mwanasheria asiyeshinda hata kesi moja mahakamani, prof mwanasheria ambaye amekosa kazi, hauziki vyuoni wala mahakamani hana wateja, mtu wa maandamano kuilaani israel na mwislam mwenye msimamo mkali kuliko waislam wanasheria wote Tanzania. huo uislam wake mimi simhukumu, ni imani yake, ila naongea kwasababu namfahamu kwa karibu, ni moja wapo wa watu wanaounga mkono type za kina ponda, na al shababu etc. amekosa kibarua hivi mnafikiri hapo anatafuta kutengeneza chama au? na ninyi chadema mmekosa watu?
aina ya watu kama prof safari, zito, yule mswahili wa mwaswa shibuda etc tupilia mbali huko bora wawaite hata wadini kuliko kushikilia hizi type za watu ambazo tunazijua kabisa zipo kuchuma tumbo na hata leo ccm wakiwapa mshiko wa kueleweka wanaweza kuwasaliti hadi hamtaamini macho yetu. NAOMBA MSIWAPE VYEO VYA JUU KWASABABU MTAKUJA KULIA SIKU MOJA HAPAHAPA.
Usikute hawa wajinga wanaifanyia udalali nchi yetu!