taamu
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 10,158
- 8,045
Polepole hata akitabasam ataonekana analia.Angekuwepo Polepole angetabasamu na yeye kuona Lowassa anavyomwaga madini?
Polepole hata akitabasam ataonekana analia.Angekuwepo Polepole angetabasamu na yeye kuona Lowassa anavyomwaga madini?
Picha moja lakini inaeleza mengi kutoka kwenye sura za watu.
Chanzo: Nimeifukunyua kwa mdauView attachment 895838
Mimi sio kijana wa ufipa
Ila bora uchaguzi ujao huyu mzee ashinde
Unafikiri kwanini tunaimba HATUNYWI SUMU, HATUJINYONGI......????Mbona hakuna furaha miongoni mwao, kulikoni?
Pesa babaLimujamaa lina nyota hili hatare sana
kazi aliyoenda kufanya imetimia.. Ni furaha sana.Picha moja lakini inaeleza mengi kutoka kwenye sura za watu.
Chanzo: Nimeifukunyua kwa mdauView attachment 895838
Hastahili, nataka kusikia CCM wakisema mabaya yake kama walivyokuwa wanamsema alipokuwa CDMAtastahili kuendelea na hicho cheo?