Picha: Mlevi anusa kifo akijaribu kuvuka upande wa pili wa barabara

wang'ambo

Senior Member
Nov 29, 2015
113
27
Ni mwanaume mmoja jina halikuweza kupatikana maramoja amenusa kifo akiwa chakali (kalewa) muda mfupi uliopita majira ya saa12 jioni leo December 01 katika H/mji Kahama alipokuwa akijaribu kuvuka barabara kuu akitokea upande wapili bila kuchukua tahadhari.
 

Attachments

  • WP_20161201_003.jpg
    WP_20161201_003.jpg
    226.7 KB · Views: 82
  • WP_20161201_004.jpg
    WP_20161201_004.jpg
    248.9 KB · Views: 77
  • WP_20161201_005.jpg
    WP_20161201_005.jpg
    224.8 KB · Views: 76
  • WP_20161201_006.jpg
    WP_20161201_006.jpg
    128.3 KB · Views: 73
  • WP_20161201_007.jpg
    WP_20161201_007.jpg
    104.3 KB · Views: 67
Duh hatari sana...
Pole yake...
Lakini walev wote uwaonao ni watu walio athirika kisaikolojia... wengi ni wapo kwenye msongo wa mawazo...matatizo ya kiuchumi ...matatizo ya kijamii na matatizo ya kifamilia...
Ni jambo jema kama tukiwa na watu wa karibu ambao ni walevi kuwaelewa na kujaribu kwa namna yoyote ile kuwarudisha katika hali ya kawaida...

Msaada mkubwa wanao uhitaji ni wakisaikolojia na tusiwatenge kwa kuwaona ni watu wa ajabu ...kinachofanya wawe hivo ni matatizo ..mtu asipopata msaada mzuri wa kimawazo kuhusu janga alilonalo ndo anajiingiza katika matumizi ya pombe ..ambapo hiyo pombe si suruhu bali ni kitu kiletacho balaa zaidi.

Tunahitaji kuwasaidia watu wa namna hii jamani ..

Wengi huwa tunawaona walevi kama watu wa ajabu lakini kabla hajanywa unakuta ni mtu mwema na mstaarabu sana...

Ni matatizo yasababishayo saikolojia kuharibika hupelekea mtu kuwa mlevi...

Hakuna mtu anayependa kuwa mlevi ( mnywaji kupindukia ) kiuhalisia ni kwamba mtu hupenda kunywa kwa starehe na si kuzidi kiwango chake na hiyo ndo furaha kwa mnywa pombe..
 
Kila siku wasukuma wanaambiwa wawe makini wanapovuka barabara lakini hawasikii.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom