FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,336
- 7,707
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka mjengo wa maana kwenye kiwanja cha 20*20??A blessed home... Majengo Muruwa...Basi miundobinu (sewage system na umeme) imara iwepo!!
Unapisema ghetto napata picha ya geto lauswazi kodi 20k kwa mwezi hahahhaHizi nyumba ndio Ngweir alizungumzia kwenye song la ghetto langu...Ziko poa
Nani huyo?We mwenyewe bado unaishi Mwananyamala kwa asha ngedere
Unachokiona hapo kisikuzuie kuweka kile wewe unaona ni cha kisasa zaidi.Mjomba mijengo ya zamaninsaaana hiyo? Mi nikasikia kisasa , kumbe 1884 carl peters
Wenye pesa nyumba hiz hapa
Hapana. Hapo haipo.Vipi kwenye hizo picha kuna nyumba ya Jackline Mengi ya kule Machame Kilimanjaro pale alipozikwa mzee Mengi?