Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,060
- 23,941
hapana usitafsiri hvyo... utakuwa unakoseaajabu sana kumbe rc hawapendani kiivo
r.I.p fr babu
hapana usitafsiri hvyo... utakuwa unakoseaajabu sana kumbe rc hawapendani kiivo
Dada usilete kashfa ktk imani ya mtu.. na pia kwa kitu usichokuwa na uelewa nacho..mmmh akili za kuabudu mapicha ya wazungu eti ni yesu na maria? hapo mzee wa feedback anaharibu sana
Kumbuka wale wamezikwa katka Kanisa la Hija,eneo ambalo linasadikika ndipo walitokewa na bikira Maria.Mkuu ninaelewa hili lakini wale watoto watatu wa Fatima wote wamezikwa ndani ya kanisa.
Mkuu ni Lucia ndiyo alikaa miaka mingi na alipata maono mengi sana, wa kwanza kufa alikuwa Francis baadae alikufa Yasinta. Lakini walishaambiwa na mama mzuri kuwa atawachukua na watakuwa nae, Francis alipata homa na kufariki miezi michache tu baada ya kuonana na mama mzuri.Kumbuka wale wamezikwa katka Kanisa la Hija,eneo ambalo linasadikika ndipo walitokewa na bikira Maria.
Wale wawili hawakukaa mpaka kuuona utu uzima wao,walikifa wangali watoto wadogo...Huyu binamu yao Yasinta ndio alikaa miaka mingi,alifariki akiwa na miaka 90 hivi,baada ya mwaka,mabaki yake naye yakapelekwa kwenye hilo kanisa....Kwa hiyo hawa ni "Special Case" madam Sky Eclat
Hwapendani kivipi na wewe Mamaa Wa Feedback?ajabu sana kumbe rc hawapendani kiivo
Asante madam...Kweli hapo nilichanganya madesa...Si Jacinta,ni Lusia!!Mkuu ni Lucia ndiyo alikaa miaka mingi na alipata maono mengi sana, wa kwanza kufa alikuwa Francis baadae alikufa Yasinta. Lakini walishaambiwa na mama mzuri kuwa atawachukua na watakuwa nae, Francis alipata homa na kufariki miezi michache tu baada ya kuonana na mama mzuri.
Yah alitokewa na mama mzuri karibu kila siku na waliongea mengi, kanisa lilishtuka baada ya Pope John Paul II kupigwa risasi ndiyo liliamini maono ni ya kweli na Fatima palijengwa kama sehemu ya hijja, hili ni jambo alilolisisitiza mama, Lucia aliambiwa Fatima pakishajengwa na yeye hatakuwa na muda mrefu wa kuishi, na hayo ndiyo yaliyotokea.Asante madam...Kweli hapo nilichanganya madesa...Si Jacinta,ni Lusia!!
Na ndio wanasema bado kuna mambo mengine au siri nyingine hakuzisema mpaka anakufa!!
mmmh akili za kuabudu mapicha ya wazungu eti ni yesu na maria? hapo mzee wa feedback anaharibu sana
....ona usivyo na akili!ajabu sana kumbe rc hawapendani kiivo
Huyu padri Babu ni tofauti na yule padri alikuwa akiendesha gari aina ya kombi enzi hizo nakumbuka alikuwa parokia ya samanga au mwingine ? R.I.PView attachment 451289 View attachment 451290 View attachment 451291 View attachment 451295 View attachment 451292 Hali ilivyokuwa katika viwanja vya Seminari ndogo ya Usariver Jimbo Kuu Katoliki la Arusha, palipofanyika Ibada ya Misa Takatifu ya Kumsindikiza Fr JOSEPH BABU maarufu kama Fr Babu, katika Safari yake ya Mwisho hapa duniani.
Misa hiyo inaongozwa na Askofu Isaac Amani wa Jimbo la Moshi akiwa pamoja na Askofu Mkuu Josephat Louise Lebulu wa Jimbo Kuu Katoliki la Arusha na Askofu Roghat Kimario wa Jimbo la Same pamoja na Mkuu wa Shirika la Roho Mtakatifu Padri Amandus Kapele.
Wengine wanaishiriki Ibada hiyo ni Mapadri wa shirika hilo na Mapadri wa Jimbo la Arusha,Moshi, Same na Mbulu;wakiwa pamoja na Watawa wakike na wakiume na Walei mbalimbali.
Kwa heri Padre Babu...Ulikuwa na msemo wako maarufu sana,kila mtu alipokuwa anakuuliza,haya yote unajenga na kuyasimamia nani atayafaidi siku ukifa?Ulijibu " Life is more than just being alive",Kwako kufa sio mwisho wa maisha...Hakika leo umezikwa,lakini utaendelea kuishi.Miaka 99 sio mchezo.Sisi wanafunzi wako tutakukumbuka daima.
Padri Babu;Pumzika kwa Amani Mpendwa wetu.Ulivipiga vita vilivyo vigumu,na mwendo umeumaliza...Ulale Pema Peponi!!
Nadhani nianze kuhisi unamtafuta allah wewe si wa Mungu.mmmh akili za kuabudu mapicha ya wazungu eti ni yesu na maria? hapo mzee wa feedback anaharibu sana
Kumbuka wale wamezikwa katka Kanisa la Hija,eneo ambalo linasadikika ndipo walitokewa na bikira Maria.
Wale wawili hawakukaa mpaka kuuona utu uzima wao,walikifa wangali watoto wadogo...Huyu binamu yao Yasinta ndio alikaa miaka mingi,alifariki akiwa na miaka 90 hivi,baada ya mwaka,mabaki yake naye yakapelekwa kwenye hilo kanisa....Kwa hiyo hawa ni "Special Case" madam Sky Eclat
heshima yako mkuu.uko deep hadi ukuMkuu ni Lucia ndiyo alikaa miaka mingi na alipata maono mengi sana, wa kwanza kufa alikuwa Francis baadae alikufa Yasinta. Lakini walishaambiwa na mama mzuri kuwa atawachukua na watakuwa nae, Francis alipata homa na kufariki miezi michache tu baada ya kuonana na mama mzuri.
Mkuu naomba ukipata muda utupe wasifu mfupi wa huyu Padri. Nimemsikia sana ila simfahamu kivile zaidi ya kazi zakeUtamaduni wa kikanisa wa kuzika ndani ya Kanisa ni kwa ngazi ya Maaskofu,Kardinali na Papa
Mapadre huzikwa ktk eneo maalumu ambalo jimbo huwa wamejiwekea