PICHA: Mifumo yetu ya Elimu

rumplelstiltskin

JF-Expert Member
Jul 27, 2020
214
307
Hii picha hapa inaelezea mifumo yetu ya elimu watakao ielewa comment hapo
IMG_20200827_224739_812.JPG
 
Mfumo wetu wa elimu unasikitisha

Mwalimu anafundisha wanafunzi 60 katika darasa moja.
Kwa njia moja tu ya ufundishaji.

Kila mwanafunzi katika lile darasa ana mahitaji yake,uwezo wake,ndoto zake,strength yake na weakness yake.

Na kila mwanafunzi anaelewa kwa nija tofauti wengine kupitia nyimbo wengine simulizi wengine kupitia meditation.

Lakini mwisho wa siku uelewa wao unapimwa kwa mtihani mmoja. mmoja

Mfumo wetu wa elimu unaua ubunifu kwa watoto.
Watoto wanakariri na kumeza material kwa ajili ya kufaulu mtihani na baada ya mtihani wanasahau.

Utaonekana una akili shuleni endapo tu utafanya vizuri darasani.

Lazima tujiulize Why C students are more successful than A students in the real world today...
 
Mfumo wetu wa elimu unasikitisha

Mwalimu anafundisha wanafunzi 60 katika darasa moja.
Kwa njia moja tu ya ufundishaji.

Kila mwanafunzi katika lile darasa ana mahitaji yake,uwezo wake,ndoto zake,strength yake na weakness yake.

Na kila mwanafunzi anaelewa kwa nija tofauti wengine kupitia nyimbo wengine simulizi wengine kupitia meditation.

Lakini mwisho wa siku uelewa wao unapimwa kwa mtihani mmoja. mmoja

Mfumo wetu wa elimu unaua ubunifu kwa watoto.
Watoto wanakariri na kumeza material kwa ajili ya kufaulu mtihani na baada ya mtihani wanasahau.

Utaonekana una akili shuleni endapo tu utafanya vizuri darasani.

Lazima tujiulize Why C students are more successful than A students in the real world today...
Uko sawa hili swala inabid liangaliwe
 
Hapo maskini karunguyeye, ameonewa sana, sijui itakuwaje? Nyani anashangilia mtihani ulivo rahisi, Kipepeo daa! kamependelewa sana, kwake kama kumsukuma mlevi huo mtihani atapita kirahisi mno, Nyoka anamsanifu mwlm kimoyoymoyo, kitu ubua tu huo.

Ngoma iko kwa Simba anatamani but mpaka roho inamuuma, atafanyaje?, Mamba wa watu ndo kabisaaa msindikizaji atajirudia zake majini. tembo anajiuliza kwa ukubwa wake huo atazarauliwa sana akishindwa hapo kuna mawili auvuruge mti, na kukatakatamajani au ajiue.

Kuna makundi ya watu wa aina hizi Duniani wengine ni kina karunguyeye na wenzake, wengine kipepeo na wenzake mwalimu ametoa kitu (Mtihani) bila kujali hali zao. wazi nyani na wenzake wamependelewa! nauliza sasa Elimu yetu kwani ni ya upendeleo?
 
Hapo maskini karunguyeye, ameonewa sana, sijui itakuwaje? Nyani anashangilia mtihani ulivo rahisi, Kipepeo daa! kamependelewa sana, kwake kama kumsukuma mlevi huo mtihani atapita kirahisi mno, Nyoka anamsanifu mwlm kimoyoymoyo, kitu ubua tu huo.

Ngoma iko kwa Simba anatamani but mpaka roho inamuuma, atafanyaje?, Mamba wa watu ndo kabisaaa msindikizaji atajirudia zake majini. tembo anajiuliza kwa ukubwa wake huo atazarauliwa sana akishindwa hapo kuna mawili auvuruge mti, na kukatakatamajani au ajiue.

Kuna makundi ya watu wa aina hizi Duniani wengine ni kina karunguyeye na wenzake, wengine kipepeo na wenzake mwalimu ametoa kitu (Mtihani) bila kujali hali zao. wazi nyani na wenzake wamependelewa! nauliza sasa Elimu yetu kwani ni ya upendeleo?
😂😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom