Sasa huo ni umati au kikundi cha watu? Jamaa lilivyo kubwa jinga limeenda kukampeni kwenye SACCOS ya chama huko Monduli. Safari hii hawajaandamana na yule taahira mwenzake mtoa lugha chafu majukwaani. Eti anajifanya Che Guevara. Midevu utafikiri Inzi wamedandia mzoga.
​Mjinga, na mtu asiyekuwa na hoja, utamtambua kwa matusi yako, anaposhindwa kujitetea au akiona anashindwa.