Pole sana mkuu. Hakika umepitia mitihani kweli kweli...Na baada ya hapo hakumaliza wiki tatu mwenyezi MUNGU akamuuita niliumia sana hata baada ya mambo hilo sikutamani kuoa tena nilikaa miaka minne nikiwa mtoto mmoja wa kiume ktk familia wazazi walipiga kelele nipe ikawa ugonvi na wazazi ikabidi nioe nilibahatika kupata watoto wawili lkn baada ya kuwa na watoto wife alianza ulevi as ajabu sana lkn mwisho aliondoka na kuniachia watoto mmoja akiwa na umri wa miaka 2.7 na mwingine miaka 4.5 lkn namushukuru MUNGU ss wamekuwa kwani wanasoma na sina mpango tena we kuoa nawaogopa sana hawa watu wanaoitwa wanawake alibeba kila kitu na kutuacha patupu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi zingine atasaidiwa na wasamalia wema.Nilisikia ndoa inakamilishwa na tendo baada ya kufungwa sasa hii imekaaje?
Nilisikia ndoa inakamilishwa na tendo baada ya kufungwa sasa hii imekaaje?
Bongo bahat mbaya tunigeria.
kwa nini unauliza nchi gani mkuu.
hata wabongo wanachakujifunza hapa.
Walishabanjuana saaaaanaNilisikia ndoa inakamilishwa na tendo baada ya kufungwa sasa hii imekaaje?
Hayo ya kuzini hayana maana.
Mungu ni mkubwa kuliko unavyofikiri, yeye ndo ameshikilia pumzi yako na kila binadamu hapa duniani...Nilisikia ndoa inakamilishwa na tendo baada ya kufungwa sasa hii imekaaje?
Katimiza agano,
Sometimes dini zinatufanya waafrika hata waliofuta ujinga kuwa wajinga zaidi ya hata wasiojua kusoma na kuandikaMungu ni mkubwa kuliko unavyofikiri, yeye ndo ameshikilia pumzi yako na kila binadamu hapa duniani...
nigeria majuzi mwanadada aliondolewa uzazi kabisa lakini baada ya kipindi fulani amepata ujauzito baada ya maombi.