The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,098
- 50,835
Pogba ameenda UMRAH sio HAJJ ni vitu viwili tofauti hivyo.kwa hiyo sasa atakuwa alhaj paul au mmeshampa jina??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pogba ameenda UMRAH sio HAJJ ni vitu viwili tofauti hivyo.kwa hiyo sasa atakuwa alhaj paul au mmeshampa jina??
Sharia ya Kiislam ndiyo hukumu pekee inayompa fursa aliyeuwa kusamahewa na warithi.
Ukiona mtu kauliwa ujuwe warithi walikataa kumsamehe, walikataa Rudia na wakaamua auliwe. Kumbuka ni warithi hao wenye maamuzi anapokutikana mtu na hatia.
Tena nchi zingine zinafanya sharia inatakiwa hao warithi ndiyo watimize hiyo hukumu na siyo kama kuna muuaji kaajiriwa alike kisasi. Hii huoelea 99% kutoweza kutuliza na kuishia au kusamehe au kuchukia fidia.
Kwa upande mwengine sasa, Tazama sheria yetu. Muuajinakikutwa na hatia anauliwa Kwa kunyongwa. Hakuna an a ewes annum same he isipokuwa Rais pekee na 99% hayajawahi kusàmehewa.
Pia huku kwetu kuna "mob justice" kibaya anaweza kupita simu tu, watu kama wewe mkampiga na kumuua hata kufikia kumchoma moto. Na hakuna anaechukuliwa hatua yoyote. Thubutu uuwe mwizi nchi za sharia.
Usome Uislam kijana, ni mwema sana usije na mihemko tu ya chuki za kujazwa ujinga.
Mecca ni kwa lugha ya English,Makkah ni Kiarabu,ni sawa na Mswahili aseme Ubelgiji na Mzungu asema Belgium,au Uingereza na England.Hivi huu mji unaitwa Macca, Mecca, Makka au Makkah?
Mwambie na Pogba piaSio maneno ya Faiza ni maneno ya Paul Pogba hebu soma habari kwenye hilo link acha papara bwana
Hata Mandela alihukumiwa kufungwa maisha kwa ugaidi huko kwao. Usisahau hilo.Magaidi wote waislam
Muslim brotherhood
Isis
Boko haram
Alqaida
Hezbollah
The list is endless
Woote waislam
Kwa hiyo mdau hapo kakosea siyo MaccaMecca ni kwa lugha ya English,Makkah ni Kiarabu,ni sawa na Mswahili aseme Ubelgiji na Mzungu asema Belgium,au Uingereza na England.
Kwani wanaowakata viungo Albino wakiwa hai ni wa dini gani? wanaoua vikongwe kwa imani za kishirikina ni wa dini gani? Israel na Marekani wanaua raia wasio na makosa utailaumu dini? Polisi weupe wa USA wanawapiga risasi na kuwaua weusi utasema ukristo ndio unaua? Kibwetere aliyewachoma moto waumini wake utaulaumu ukristo wote? Jitafakari na usiwe una comment kwa misingi ya chuki,chuki inakutesa mwisho wa siku utajikuta na vidonda vya tumbo bure!Tetea weee!!! ila kuchinja mtu hadharani kwa Upanga ni ukatili wa hali ya juu.
Tena wanahukumiwa kwa sharia za kiislam wala sio Warithi kama unavyotaka kupotosha umma.
Dini gani isiyojua kusamehe, yaani warithi wanataka mwenye mali afe warith mali zake??.
Halafu mnasema dini ya heshima
Sijui katumia Lugha gani kutaja hivyo,siwezi kumuhukumu kua kakosea.Kwa hiyo mdau hapo kakosea siyo Macca
Ni sharia ya Kiislam ndiyo iliyowapa warithi haki ya kusamehe. Soma kijana, usibishe tu kijinga kwa vitu usivyovielewa. Sitetei kitu, hapa nakupa darsa uuelewe Uislam. Nitakuwekea ushahidi wa hilo baadae kidogo.Tetea weee!!! ila kuchinja mtu hadharani kwa Upanga ni ukatili wa hali ya juu.
Tena wanahukumiwa kwa sharia za kiislam wala sio Warithi kama unavyotaka kupotosha umma.
Dini gani isiyojua kusamehe, yaani warithi wanataka mwenye mali afe warith mali zake??.
Halafu mnasema dini ya heshima
Kadri unavyoichukia hii dini, ndivyo ambavyo utajitahidi kuisoma ili uweze kuikosoa.....Tetea weee!!! ila kuchinja mtu hadharani kwa Upanga ni ukatili wa hali ya juu.
Tena wanahukumiwa kwa sharia za kiislam wala sio Warithi kama unavyotaka kupotosha umma.
Dini gani isiyojua kusamehe, yaani warithi wanataka mwenye mali afe warith mali zake??.
Halafu mnasema dini ya heshima
Naona unakimbia umevaa gauni mzee babaWw3 naiona kwenye uzi huu
Mm
Ova
Ni sharia ya Kiislam ndiyo iliyowapa warithi haki ya kusamehe. Soma kijana, usibishe tu kijinga kwa vitu usivyovielewa. Sitetei kitu, hapa nakupa darsa uuelewe Uislam. Nitakuwekea ushahidi wa hilo baadae kidogo.
Kwanza razama ukatili huu, kaiba tu huyo, prngine simu tu. Haki iko wapi hapo? Hii hufsnywa na watu kama wewe hapa kwenu.
Tahadhari jamani picha zinatisha...
Naona ni chuki tu imekujaa kuona Paul Pogba, mchezahi maarufu kaiona nuru na kujisalimisha kwa Allah.
Usichukie, usome Uislam unaweza kuwa upo kizani na nuru ipo mbele yako huioni. Wacha chuki za ujinga tu zisizo na sababu.
Over my dead body!Kadri unavyoichukia hii dini, ndivyo ambavyo utajitahidi kuisoma ili uweze kuikosoa.....
Kwa kuwa utazidi kuisoma basi hapo ndipo utakapozidi kuujua ukweli wa uislam.......
Na kadri ya utakavyozidi kuujua ukweli basi hapo ndipo utakapozidi kumpwekesha Mungu na kuujua ukubwa na uwezo wake.
Na kadri utakavyozidi kumpwekesha Mungu, ndivyo nuru na mwangaza wa uislam utakavyoingia katika moyo wako.
Na kwa kadri ya nuru na mwangaza utakavyozidi kuingia katika moyo wako basi ndivyo utakavyopupia kuingia katika dini ya Mwenyezi Mungu kwa kasi.
Jitahidi kuendelea kukosoa ili uingie ktk uislam
Hujafa hujaumbika mkuu, viapo huwa vinafutwaOver my dead body!
Cha ajabu huu ukatili wa namna hii,wao hua hawauoni!!
Hujafa hujaumbika mkuu, viapo huwa vinafutwa
Pogba in Muislam kabisaPaul na macca wapi na wapi