PICHA: Mchezaji wa Manchester United, Paul Pogba akiwa Macca

Wakulonga

JF-Expert Member
Oct 29, 2012
762
772
Baada ya kumaliza mfungo wa mwezi wa Ramadhani Paul POGBA aliamua kwenda kufanya Umra katika mji mtakatifu wa Macca

8D1A8840-4056-4A18-B8F2-E411C31FE4DD.jpeg
884AE776-836A-4081-AB73-5204D37089AE.jpeg
C9291F0E-16C3-411F-97B1-C1622A22590E.jpeg
266A1CC0-1A83-4378-B5EF-D32AB802EE97.jpeg
F1A56715-F9E2-4214-91D0-7CFBE18BA2BB.jpeg
 
Nimeipenda hii...


"kusema kweli ni dini ambayo ilinifungua akili na hilo labda linanifanya niwe mtu mwema.Unakuwa na uhusiano na ubinadamu na kuheshimika kwa yule uliye ,dini uliyonayo, rangi gani ya mwili na kila kitu. Uislamu ni - heshima kwa binadamu ".
Hi statement inafikirisha sana kwa wenye kutafakari
 
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
nyie mnaochinja watu mna heshima gani?

Dini ya kipuuzi sana
Sharia ya Kiislam ndiyo hukumu pekee inayompa fursa aliyeuwa kusamahewa na warithi.

Ukiona mtu kauliwa ujuwe warithi walikataa kumsamehe, walikataa fidia na wakaamua auliwe. Kumbuka ni warithi hao wenye maamuzi anapokutikana mtu na hatia.

Tena nchi zingine zinazofata sharia inatakiwa hao warithi ndiyo watimize hiyo hukumu na siyo kama kuna muuaji kaajiriwa alipe kisasi. Hii hupelekea 99% kutoweza kutimiza na kuishia au kusamehe au kuchukua fidia.

Kwa upande mwengine sasa, Tazama sheria yetu. Muuaji akikutwa na hatia anauliwa Kwa kunyongwa. Hakuna anaeweza kumsamehe isipokuwa Rais pekee na 99% hawajawahi kusàmehewa.

Pia huku kwetu kuna "mob justice" kibaka anaweza kupora simu tu, watu kama wewe mkampiga na kumuua hata kufikia kumchoma moto. Na hakuna anaechukuliwa hatua yoyote. Thubutu uuwe mwizi nchi za sharia.

Usome Uislam kijana, ni mwema sana usije na mihemko tu ya chuki za kujazwa ujinga.
 
Back
Top Bottom