Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,745
- 5,446
Huko Siha inaonekana mambo ni magumu kwa upande wa Ccm.
Vv
Vv
Huyu jamaa si ni profesa wa ndumba!? Kwani hizo hirizi hazipumui hadi apige magoti kuomba kura? Si na atamke neno tu afu inakuwa!!!Mbunge wa Korogwe Vijijini Steven Ngonyani 'Maji Marefu' akimuombea kura mgombea ubunge jimbo la Kinondoni kupitia CCM, Maulid Mtulia wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja vya People Kigogo jijini Dar es salaam jana.
Chanzo: Mwananchi
Umesikika ndio nakushauri uvumiliwe hujakatazwa kusema au kutangaza.Ikinikera ni haki yangu kusema.
Nikikutana nao nita wauliza kunani wabunge wangu hadi mnatudhalilisha?Umesikika ndio nakushauri uvumiliwe hujakatazwa kusema au kutangaza.
Yaani wametudhalilisha kupita kiasi. Utafikiri wameambiana wafanye nini, kisa kura za kinafiki. Tuwasubiri 2020 tuwaone hawa.Korogwe vijijin tunakero anazikimbia huku anaenda kupiga magoti dar es salaam aende kijijin akaweke miundombinu ya bara bara na maji katk kata zake za huko bungu,mlungui n.k sio kutudhalilisha kwa kupiga magoti wakati wana korogwe vijijin hajawai kuwapigia goti shubamiiit Stephen Ngonyani hatutaki mambo haya njoo korogwe sio kutudhalilisha huko