Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Chanzo: Mwananchi
Wana adabu kipindi kama hiki hawa viumbe haiMbunge wa Korogwe Vijijini Steven Ngonyani 'Maji Marefu' akimuombea kura mgombea ubunge jimbo la Kinondoni kupitia CCM, Maulid Mtulia wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja vya People Kigogo jijini Dar es salaam jana.
Chanzo: Mwananchi
Kinondoni hali ni mbaya sana kwa Mtulia na ccm yake wanapumulia mashine ile mbayaLabda aweke nguvu ya ziada ya u professor lakini kwa sasa hivi Mtulia yuko kwenye maji marefu
Yuko kwenye maji marefu na hajui kuogeleaLabda aweke nguvu ya ziada ya u professor lakini kwa sasa hivi Mtulia yuko kwenye maji marefu
Mbunge wa Korogwe Vijijini Steven Ngonyani 'Maji Marefu' akimuombea kura mgombea ubunge jimbo la Kinondoni kupitia CCM, Maulid Mtulia wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja vya People Kigogo jijini Dar es salaam jana.
Chanzo: Mwananchi