Hii imetokea huko nchini Kenya mbunge kawasili kwa chopa kuja kuzindua daraja la mbao.
My take:
maajabu kama haya utayasikia kwa majirani tuu hapa tz huwezi sikia vituki kama hivi.View attachment 1765590View attachment 1765591View attachment 1765592View attachment 1765593
Sent using Jamii Forums mobile app
bro,, picha za kitambo sana hizo,,, watu walikua hawajui covid ni mnyama gani. hapo alikua kwenye kampeni na aliamua kutumia pesa zake mfukoni.Hakuna
Hakuna hata mwenye barakoa na distancing ni zero kisha ustasikia eti tunataka chanjo watu wanakufa kwa covid
Bac ni iyo ni takirima katoabro,, picha za kitambo sana hizo,,, watu walikua hawajui covid ni mnyama gani. hapo alikua kwenye kampeni na aliamua kutumia pesa zake mfukoni.
š šsiasaa hiziHii imetokea huko nchini Kenya mbunge kawasili kwa chopa kuja kuzindua daraja la mbao.
My take:
maajabu kama haya utayasikia kwa majirani tuu hapa tz huwezi sikia vituki kama hivi.View attachment 1765590View attachment 1765591View attachment 1765592View attachment 1765593
Sent using Jamii Forums mobile app
Ubinafsi uchoyo upogo na ulimbukeni. Hao ndo manyang'au wanangu.Hii imetokea huko nchini Kenya mbunge kawasili kwa chopa kuja kuzindua daraja la mbao.
My take:
maajabu kama haya utayasikia kwa majirani tuu hapa tz huwezi sikia vituki kama hivi.View attachment 1765590View attachment 1765591View attachment 1765592View attachment 1765593
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko nako kunabyale mambo ya ajabu kama tzDaraja zuri... limegharimu M350 Tsh
Kule wengi ni zao wanamilikitusilaumu bila kujua labda wabunge wa kenya wanapewa chopper kama chombo cha usafiri
Ndio maana wanakufa sana kwaoHakuna
Hakuna hata mwenye barakoa na distancing ni zero kisha ustasikia eti tunataka chanjo watu wanakufa kwa covid
Tena wa kutupwaNivlark ukiona umati unajazana hivi kuzindua kitu ambacho wala hakina maana, ujue ni UMASIKINI huo.