Mwenzao yuko humuUbinafsi uchoyo upogo na ulimbukeni. Hao ndo manyang'au wanangu.
Hawa majirani ni vishoia kinomaHakuna
Hakuna hata mwenye barakoa na distancing ni zero kisha ustasikia eti tunataka chanjo watu wanakufa kwa covid
Neno la kichaga kama vile kufanya/ fanywa upuuzi. Kama kuzingua hivi
Ahaaa huyo kishoia ndio tondooNeno la kichaga kama vile kufanya/ fanywa upuuzi. Kama kuzingua hivi
Hahaha. Wacha nicheke tu.Hii imetokea huko nchini Kenya mbunge kawasili kwa chopa kuja kuzindua daraja la mbao.
My take:
maajabu kama haya utayasikia kwa majirani tuu hapa tz huwezi sikia vituki kama hivi.View attachment 1765590View attachment 1765591View attachment 1765592View attachment 1765593
Sent using Jamii Forums mobile app