Akiwa katika viwanja vya shule ya kiongwile mjini ifakara akimnadi mgombea udiwani wa kata ya ifakara dogo Peter lijualikali. Alizungumza mambo mengi lakini kubwa ni kuhusu rasimu ya katiba inapitiwa na wanasheria wa chama neno hadi neno na baadae kuwasilishwa katika kamati kuu. Hila alisisitiza suala la wakuu wa mikoa na wilaya ni lazima waondolewe kwy rasimu hii.