winner forever
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 1,095
- 269
Yaa hii ni mambo ya kampala
Mkuu umenikumbusha mbali sana sax pub kansanga kabalagala enzi hizo
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Mkuu nakuongeza nguvu.
de poshi,capital,kabalagala du aibu pub kila kona, umemis mkuu,samak wa gaba beach,munyonyo,entebe beach,uwa napenda sana kutembea kule nikiwa east africa,lazima nitembee uko
Zile beach za entebbe sasa. Kale ka upepo na ukipata Nile beer baridiiii pembeni na mtoto wa kinyankole. Wacha kabisa those wea the days! Kweli siku zinaenda kasi sana
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
bila kusahau kitimoto pande za bunga na zanzi uko ntinda,entebe beach za kumwaga,ukipanda bus ukitaka kushuka unasema ssebo mmaso hao,club na pub za kampala kila siku zinajaza kuanzia jumatatu adi jumatatu
Ntinda bugolobi wandegeya siko zilikuwa night spots zangu. Hawasemi Ssebo mmaso hao wanasema 'Ssebo MASAWO ku stage'.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
wandegeya mitaa hio iko bize kwa saa 24 na kabalagala,mchana watu si wengi usiku watu kibao adi asubuh watu wanatembea ukosi chakula,biashara masaa 24,kuna wine yao inaitwa V and A ni poa sana
kamata hizo
Wandegeya kuna sifa 1 tu. Wale kikoko (chikoko) au kuku nomaaaa ukipiga na rolex kikomandoo ile ya yai 3 basiiii siku imepita
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
na ata kabalagala wapo,mi nikiwa ug uwa napenda kula chicken tonight,na sehemu nyingine,uzuri wa ug kuna watoto toka kila sehemu ya africa,kenya,tz,eritrea,ethiopia,congo,somali,rwanda,burundi na kule unaweza ishi ata kama mgeni usiulizwe habari za passport na ukapiga deal zako poa tu na ukanunua nyumba,ili mradi usiwe kwenye siasa mambo za upinzani,tofaut na tanzania uhamiaji wakishika raia siyo wanawaweka ndani na kuwarudisha,kampala mgeni yoyote unaish na kupiga bznes ata kama hauna makaratas
Hivi kweli unaweza ukawa na imani na akili ya hawa watu?
Kweli kabisa mkuu. Mida hii pale lugogo mishemishe kibao
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
:bange:
Wajinga sana hawa. Hawana akili hata kidogo. Sasa ndio wanafanya kitu gani hapo? Wamenikera sana.