Picha mbali mbali za wakristo duniani kote wakisheherekea Krismasi

Maghayo

JF-Expert Member
Oct 5, 2014
13,343
27,954
52200007-10343587-image-a-31_1640389047054.jpg

St Basilica Vatican

52200201-10343587-image-a-33_1640389244590.jpg

St patrick's basilica Manhattan New York
52200213-10343587-image-a-35_1640389305690.jpg
Sri lanka

52200249-10343587-image-a-41_1640389771107.jpg

Syria
52202127-10343587-image-a-6_1640395500479.jpg

Kenya
52200203-10343587-image-a-38_1640389670049.jpg

Moscow Urusi

52200201-10343587-image-a-33_1640389244590.jpg
 
Nasadiki Kwa Bwana Mmoja Yesu Kristo, Mwana wa Pekee Wa Mungu, Aliyezaliwa Kwa Baba Tangu Milele Yote.
Mungu Aliyetoka Kwa Mungu, Mwanga Kwa Mwanga, Mungu Kweli Kwa Mungu Kweli. Aliyezaliwa bila kuumbwa, Mwenye Umungu Mmoja Na Baba, Ambaye Vitu vyote vimeumbwa naye.
 
Nasadiki Kwa Bwana Mmoja Yesu Kristo, Mwana wa Pekee Wa Mungu, Aliyezaliwa Kwa Baba Tangu Milele Yote.
Mungu Aliyetoka Kwa Mungu, Mwanga Kwa Mwanga, Mungu Kweli Kwa Mungu Kweli. Aliyezaliwa bila kuumbwa, Mwenye Umungu Mmoja Na Baba, Ambaye Vitu vyote vimeumbwa naye.
Amen
 
Nasadiki Kwa Bwana Mmoja Yesu Kristo, Mwana wa Pekee Wa Mungu, Aliyezaliwa Kwa Baba Tangu Milele Yote.
Mungu Aliyetoka Kwa Mungu, Mwanga Kwa Mwanga, Mungu Kweli Kwa Mungu Kweli. Aliyezaliwa bila kuumbwa, Mwenye Umungu Mmoja Na Baba, Ambaye Vitu vyote vimeumbwa naye.
Tumsifu Yesu Kristu ndugu Mkatekumeni. 🙏
 
Nasadiki Kwa Bwana Mmoja Yesu Kristo, Mwana wa Pekee Wa Mungu, Aliyezaliwa Kwa Baba Tangu Milele Yote.
Mungu Aliyetoka Kwa Mungu, Mwanga Kwa Mwanga, Mungu Kweli Kwa Mungu Kweli. Aliyezaliwa bila kuumbwa, Mwenye Umungu Mmoja Na Baba, Ambaye Vitu vyote vimeumbwa naye.
Si uimalizie tu Mzee?
 
Hivi ni kwa nini huko wanajifunika vichwa kama Waislaam lakini wa huku vichwa wazi wanashidana kuonesha mitindo ya nywele ?

Tofauti ya huko na huku ni ipi?
Ni utamaduni wa jamii zao. Kama mmasai anavyovaa shuka lake church kwahiyo wa ireland hawezi fuata takwa la kimasai hata kama ukristo ungekuwa ni asili ya umasaini.
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom