nakubaliana nawe kwa kiasi fulani lakini kumbuka siku zote kosa siyo kosa lakini reaction ya kosa lilofanyika inaweza kuwa kosa kubwa kuliko kosa lenyewe. mtoto amefanya kosa ilibidi sheria za nchi zifuatwe kwa mhusika kufikishwa kwenye mamlaka zinazohusika. sasa leo watu wasiousika na tukio zima ndio wanapata hasara kwa upuuzi wa watu wengine hilo ni kosa pia.
Wanataka kuuwa mtoto wa miaka 14?
kuna uhusiano gani kati ya kukojolea hicho kitabu na kubeba genereta la kanisa?. mia
Hivi anayejua umuhimu wa msaafu halafu akauleta ukojolewe na ambaye hajui umuhimu wake akaukojolea nani mwenye makosa,mbona wote wanafaa wangepewa adhabu zao na siyo kulalia upande mmoja.Au kuna sababu zingine za siri?
haaaaa!kwa iman yao mkubwa huyo shekh umesahau m2me alipga kdemu cha miaka 12?Wanataka kuuwa mtoto wa miaka 14?