Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Paroko wa kanisa la Roman Katoriki (RC) parokia ya Lupingu Ludewa Thobias Mgani akionyesha fedha kiasi cha shilingi milioni 1.8 kilichotolewa na mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe kwa ajili ya kuunga mkono jitihada za mkazi wa Lupingu Deo Ngalawa aliyejitolewa kujenga chuo cha ualimu katika kata mwambao wa Ziwa nyasa ili kupunguza tatizo la uhaba wa walimu
Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe akimlisha chakula mtoto yatima wa kituo cha Lupingu jana kabla ya mkesha wa Krismas
Picha kushoto:
Mwanahabari wa ITV Vedasto Msungu akijumuika na mbunge na wanahabari wengine kula chakula na yatima kama njia ya kujenga upendo zaid
Picha Kulia:
Diwani wa kata ya Lupingu kupitia chama cha TLP na mbunge wa jimbo la Ludewa (kulia) wakila chakula na yatima
Mbunge wa jimbo la Ludewa akicheza ngoma ya kihoda na wasanii wa kundi la Kihoda Lupingu Ludewa
Wasanii wa kundi la Mdanga katika kata ya Lupingu wakimzawadia zawadi ya ngoma mbunge wao.
Mbunge wa jimbo la Ludewa akicheza ngoma ya kihoda na wasanii wa kundi la Kihoda Lupingu Ludewa
Wasanii wa kundi la Mdanga katika kata ya Lupingu wakimzawadia zawadi ya ngoma mbunge wao.