Picha: Mashabiki wakitoa heshima za mwisho kwa 'Mfalme wa Soka' Pele

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,370
8,107
SRDZG5QKDBNWJMW67W2JMZE6PU.jpg

OAEFFRS5ZRJPVESLMGU4LZO2GU.jpg

3GWPZ4PDBNKV7KGAUOUCALXM34.jpg

X5HCQ7TYVBKXRNZGWCNPOJSUJY.jpg

S6T4L2LKZBKLDAQ6DJJV2KZCIQ.jpg

PFLXDXJ3CRJLRLZ2ME65KL2Z2Q.jpg

3BFIUYTURFJ5FPG3ZUFWHDE73I.jpg

MM6MHOJ2YJJ3NAZRGATBC3YI2Q.jpg
 
Life well lived!

Najiuliza siku nikiitwa kurudi nipotoka, pale pumzi yangu itakapotwaliwa, ntaacha alama au kumbukumbu gani Kwa familia, marafiki, wafanyakazi, jamii, taifa na yeyote niliyewahi kufahamiana nae?

Heri ya mwaka mpya Kwa wanajukwaa wote wa JF.
 
Life well lived!

Najiuliza siku nikiitwa kurudi nipotoka, pale pumzi yangu itakapotwaliwa, ntaacha alama au kumbukumbu gani Kwa familia, marafiki, wafanyakazi, jamii, taifa na yeyote niliyewahi kufahamiana nae?

Heri ya mwaka mpya Kwa wanajukwaa wote wa JF.
Hiyo alama itakusaidia nini huko uendako?
 
Hiyo alama itakusaidia nini huko uendako?
Sio Kwa ajili yangu, nimeandika Kwa wale ntakaowaacha. Mie nikishakufa si biashara imeisha! Ndio maana haujaona naongelea ntazikwaje, iwe na manispaa, nitupee baharini, nichomwe, nifukiwe, haitakua na tija Tena kwangu.

Ntaacha kumbukumbu gani Kwa watu walionifaham kuanzia watoto, Mke, majirani na jamii Kwa ujumla.
 
Back
Top Bottom