Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 4,310
- 10,010
Daaah pole Alex,mungu akuponye haraka,kipi kimsumbuacho huyu fundi wa kitambo?,Simba wamefanya nini kumsaidia?,ina maana wamemsahau?,nakumbuka alipiga penati ya kuwatoa Zamarek kule Cairo miaka ile...Wachezaji wanaotamba sasa kuna kitu cha kujifunza hapa....Bongo soka hovyo sana.
Wana akili za kujifunza?
Wana akili za kujifunza?
Wana akili za kujifunza?
Wachezaji wengi upeo wao mdogo Sana hawana washauri,hebu angalia sababu za kuludi bongo BOBAN! ni utumbo mtupu...
Mashabiki wa mbeya city wamepitia nyumbani kwa mchezaji wa zamani Christopher Alex mjini dodoma wakati wakitoka mwanza na kumjulia hali pamoja na kumpatia kiasi cha shilingi 200,300