Mwanahabari wa Taifa
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 1,450
- 799
CHADEMA ndio mnaakili gani?MaCCM akili zao hazina akili.
Chama maiti,
Mabango yote yameandikwa na SHAKA .. Chawa anajitekenya na kucheka mwenyewe = UCHAWA
CHADEMA ndio mnaakili gani?MaCCM akili zao hazina akili.
Chama maiti,
Mabango yote yameandikwa na SHAKA .. Chawa anajitekenya na kucheka mwenyewe = UCHAWA
Chama la majizi ya kura kweli mna mambo.Pinga pinga FC
Kwani chadema huo mtani hamuuoni wakati ni wachaga ?Ujinga na umasikini kwa wananch n mtaji mkubwa sana kwa C.C.M
Vibe gani wakati bado wananchi wanaogelea kwenye dimbwi la umasikini na ujingaLakini vipi hilo vibe,
Maandishi yamelalia kushoto, hati kama ya kike. Uwandishii huu CCM ni wa Bashite na MaShaka tu.😀Hebu tuaminishe sasa aliyeandika ni Shaka
Ana ndoa yake Mombasa, lazima ang’ae.😀Watu mna macho kweli. Yawezekana jua la Dar limemchubua😭😥😢
Hatuwezi teseka na Chama maiti.CHADEMA mnateseka sana endeleeni kuota ndoto
Chama maiti… hakuna cha maana MaCCM yanafanya , waibe tu chaguzi maisha yaendelee..!Siasa ni mikakati, siasa ni hesabu, siasa ni ulaghai...kuna kundi lipo kulaghaiwa hapo
Sio kosa lake ni UCHAWA tu, CCM imekataliwa DUNIANI na Mbinguni.Hivyo vibango viwili/vitatu ndio unaanzishia mada kabisa?
Hao si walevi wamepewa pesa ya nyama na pombe kidogoHakuna uhalisia hapo,uongo uongo mabango yameandaliwa na wachumia tumbo.
Kwa jinsi maisha yalivyobana mwananchi hawez kukumbuka kuandika mabango tena kwenye karatas ya gharama
Karatasi na Karamu hizo tatu tofauti zilizotumika ni zile za mikutano ya ndani hotelini / Conferences meeting.Hakuna uhalisia hapo,uongo uongo mabango yameandaliwa na wachumia tumbo.
Kwa jinsi maisha yalivyobana mwananchi hawez kukumbuka kuandika mabango tena kwenye karatas ya gharama
Kwanini na ninyi msiibe?Chama la majizi ya kura kweli mna mambo.
Kwanini na ninyi msiibe?
Wao wanao umeme wao na maji yao 24/7, wanayo furaha. Waache waenjoyBaada ya Sekretarieti ya CCM-Tanzania inayoongozwa na Katibu Mkuu wa CCM Taifa Crde Daniel Chongolo kuwasili mkoa wa Geita limeibuka Shangwa na mabango kedekede yenye kumpongeza na kumtia moyo Rais Samia Suluhu Hassan,
Hii ni tafsiri chanya ya anayoyafanya Rais wetu katika kuliletea Taifa letu maendeleo endelevu,Furaha ni kubwa zaidi kuona vijijini wanachi walivyohamasika katika kuendelea kuiamini na hatimaye kuichagua CCM-Tanzania,Hakuna kama Samia
Wametumia Muandishi mmoja kwa Mabango yote ndio maana unaona ujumbe umejikita eneo moja.Mbona sijaona bango linalolalamika ughali wa maisha??
Au huko kwao maisha ni nafuu????
Tuko pamoja, Pigeni kaziBaada ya Sekretarieti ya CCM-Tanzania inayoongozwa na Katibu Mkuu wa CCM Taifa Crde Daniel Chongolo kuwasili mkoa wa Geita limeibuka Shangwa na mabango kedekede yenye kumpongeza na kumtia moyo Rais Samia Suluhu Hassan,
Hii ni tafsiri chanya ya anayoyafanya Rais wetu katika kuliletea Taifa letu maendeleo endelevu,Furaha ni kubwa zaidi kuona vijijini wanachi walivyohamasika katika kuendelea kuiamini na hatimaye kuichagua CCM-Tanzania,Hakuna kama Samia