luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,021
- 21,263
Katika vitu ukawa wanajisahau ni Kutoa Elimu ya kupigia kura maana kuna watu wana hasira ila hawajawahi.kupiga kura
Ccm wanafanya hivyo ila sisi hatutoi Elimu
kama uko mwanza inabidi elimu hii uwe unaijua. Hiindo kazi ninafanya na wenzangu jinsi ya kupiga na kukunja. Uko pansiasi tutafika soon subiri tumalize sehem fulani