PICHA: Majengo marefu zaidi Duniani, Jengo la kwanza lipo Dubai(UAE), China yaongoza kuwa na majengo mengi marefu Duniani

800m+ Urefu?? Basement imezama mita ngapi kwenda chini?

usiulize mzee unaweza kuwa chizi ghafla!
Hawa wenzetu hawana akili za kutawala watu ila wanataka kutawala vitu ambavyo watu wanatumia! SISI HUKU AFRICA E.g. nchi ya jiwe tunataka kutawala watu tunaacha vitu.

Ndiyo maana kwa wenzetu maandamano ni kawaida kwa sababu watu hawatawaliwi! WANAJITAWALA
 
Tz hayo majengo ni mpaka yesu arudi
Afrika nzima hakuna jengo refu lililoingia top 100, kuna majiji makubwa kama Johhanesburg, Cape Town, Cairo, Tunis, Accra n.k hamna.

Bongo kwa maendeleo yetu kiduchu, tutasubiri sana.
 
Na yote yamejaa au vyumba bado vipo
Hapo sijajua ila ni nadra kuwa empty(kujaa nusu)

Humo kuna Ofisi, Hotel na makazi ya watu.

Unaweza kukuta jengo moja wanaishi watu 60,000 ambapo inaweza kulingana na idadi ya watu katika jimbo zima huku bongo.
 
umetisha mzee, leo umenifuta matongotongo bila kujua!
Hata mimi nilivutiwa sana kujua hichi kitu, tuliowengi huwa tunafia kwenye ardhi yetu bongo bila kutembea nje za wenzetu hata kidogo.

Kwa hiyo teknolojia inatufanya tujue mambo mengi bila kutembea kwenda kujionea live kwa macho
 
Back
Top Bottom