Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watoto wanafundishwa uchawi mapemaaaa
Mnawapa wapinzani hoja, hata kama walengwa wangekuwa waalimu wao.Nyie semeni tu wanafundishwa uchawi.
Hao ndo wapiga kura wa baadae .
Wakishakuwa hao hauwaambii kitu kuhusu CCM
Mnawapa wapinzani hoja, hata kama walengwa wangekuwa waalimu wao.
View attachment 1609137
Jamani CCM, kuweni na huruma na watoto wetu!
Kesho utawakuta wapo JWTZ au POLISI.
Mnategemea watakuja kuwa upande wa upinzani?.
kwani mtoto kuwa mfuasi wa chama Fulani ni kosa?.
Naona unaitendea haki ID yako.Nyie semeni tu wanafundishwa uchawi.
Hao ndo wapiga kura wa baadae .
Wakishakuwa hao hauwaambii kitu kuhusu CCM
Kiasi cha kuvunja ratiba za masomo???. Btw wanasiasa wengine nao wanapata "haki" hiyo ya kufunga shule ili nao wasikilizwe na watoto/walimu??.kwani mtoto kuwa mfuasi wa chama Fulani ni kosa?.
Naona unaitendea haki ID yako.
Kiasi cha kuvunja ratiba za masomo???. Btw wanasiasa wengine nao wanapata "haki" hiyo ya kufunga shule ili nao wasikilizwe na watoto/walimu??.
Naona unaitendea haki ID yako.
Hawa ndio wale kura milion 5 zilizokwisha andaliwaView attachment 1609108
Je, kuna mpango wa kuwawezesha hawa kinda kupiga kura? Kwa nini wanahangaishwa hivi?
Nauliza tena, vyama vingine vya siasa navyo vitapewa nafasi hiyo ya kukatisha masomo wanafunzi???Kila kitu kinaanzia utotoni
Kama mtashindwa kupata wafuaasi wa chama CHENU kuanzia ngazi ya watoto basi mjue nyie NI BURE .
asilimia kubwa ya wazee wanaipigia kura CCM waliijua ccm wakiwa watoto wadogo.
Nani aliijua chadema akiwa bado mdogo?
Ni hekima kufanya kila jambo kwa wakati sahihi. Kwa umri wao walipaswa kufundishwa elimu ya uraia huko shule, kujua wajibu na haki zao kama raia na si itikadi za vyama vya siasa.Nayasema hayo Nina ushahidi
Nina mtoto wa mjomba wangu ni mdogo tu.
Lakini anaipenda ccm balaa haumwambii kitu.huyu mtoto tayari Kesha kuwa ni mfuasi wa ccm tangu mtoto.
Akishakuja kuwa mkubwa hauwezi kumwambia kitu kuhusu CCM..
Maana amekuwa anaiona ccm sio chadema Wala chauma