😂 kwa hiyo ni full mbwembwe ndiyo zimeokoa siyo !still wabovu sjaona pisi kali hpo
😂 kwa hiyo ni full mbwembwe ndiyo zimeokoa siyo !still wabovu sjaona pisi kali hpo
Mleta mada atakuwa ni wale boys wanaitwagwa marioooo hao wakiona demu mwenye pesa kwao ndiyo mrembo , utawasikia wanasema Beyonce ni mrembostill wabovu sjaona pisi kali hpo
Hakuna mrembo hapotatizo lenu nyinyi hakina mariooo mkiona demu mwenye pesa basi huyo ndiyo mrembo kwenu . Acheni umariooo tafuteni pesa bila ya kutegemea wanawake.Umezoea kina mwajuma wanajichubua
Wewe ni zuzu wa kimataifa wewe unadhani mafisadi wakubwa africa wameficha pesa kwenye nchi zao ?....au unadhani wanawekeza kwenye nchi zao tuakifa baba yao watakuwa na maisha mabaya,, maana Nchi itaingia kweny mgogoro wa kugombea nafasi ya urais,
Museveni ajaandaa mazingira mazuri ya kupokelezana madaraka, ni Bora angeandaa mtu wake then yeye astaafu mapema kwa amani,
Dah kwahiyo tumekuwa marioo sasa? Kisa kusifia chombo kali?😂😂Hakuna mrembo hapotatizo lenu nyinyi hakina mariooo mkiona demu mwenye pesa basi huyo ndiyo mrembo kwenu . Acheni umariooo tafuteni pesa bila ya kutegemea wanawake.
Dawa yao katerero tuuPicha:Mabinti wa museven ni pisi kali balaa hawa kiasili ni waganda kweli?
Mmeona pisi kali za mzee baba? Hawa ni waganda kweli kiasili maana wanafanana na watu wa Rwanda kwa asilimia 100%
Ila ni pisi kali balaa
View attachment 1840749View attachment 1840750View attachment 1840751View attachment 1840752
Wakali Ila kumbuka " beauty lies in the eyes of the beholder." Hawa ni Waganda pure, na kabila lao yani la Museveni wajulikana Kama " Ankole" Yani Wanyankole ndo huwa wanasifika kuwa na wanawake wazuri na weupe kuliko makabila mengine. Wanyankole hawana tofauti na wanyarwanda kimaumbilePicha:Mabinti wa museven ni pisi kali balaa hawa kiasili ni waganda kweli?
Mmeona pisi kali za mzee baba? Hawa ni waganda kweli kiasili maana wanafanana na watu wa Rwanda kwa asilimia 100%
Ila ni pisi kali balaa
View attachment 1840749View attachment 1840750View attachment 1840751View attachment 1840752
NakaziaWe utakua mgonjwa wallah