Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Maalim Seif Sharif Hamad akiwa pamoja na Rais mstaafu wa Zambia, Rupia Banda na kiongozi na kinara wa CORD nchini Kenya ambaye alikuwa Waziri mkuu, Raila Odinga, walipokutana Philadelphia kwenye Mkutano Mkuu wa Chama cha Democrats (Democrats National Convention) unaoendelea kwa siku ya nne na ambao utamdhibitisha rasmi Hillary Clinton kuwa Mgombea Urais wa Marekani kupitia chama hicho.