Picha lishaanza: Acacia walalamikia wafanyakazi wake 'kubananishwa' na TAKUKURU

Mkuu, ukiisoma vizuri alicho kiandika Peter, utagundua amesema na akaweka wazi kwamba mazungumzo ya serikali ya Tanzania na Barrick bado yanaendelea.
Lakini kilicho onekana kumkwaza ni serikali ya Tanzania kuwataka ama kuwalazimisha wafanyakazi wa Accacia Dar office na North Mara kutoa maelezo kwa lazima, na akaongeza kuwa amesikitishwa kwa kitendo cha serikali ya Tanzania kuzima computer mbili pamoja na sim.
Hivyo amewataka wafanyakazi wa Accacia wawe watulivu katika kipindi hiki cha hofu kubwa.
Na akaongeza kwamba kwasasa Accacia imejikita hasa kwenye kulinda utu/usalama wa wafanyakazi wao. Na yeyote mwenye maswali ama maoni asisite kwenda kumuona ama kuzungumza na General Manager.
Inasema pia wataendelea na kesi yao waliyoifungua huko mambele dhidi ya Tanzania
 
Mwenyekiti wa uvccm naye alikuja na kauli kama yako kuwa hakuna kuwalamba miguu world bak, lakini haikupita hata wiki mkawalamba mpaka na unyayo. Chezea mtu aliyekuzidi akili wewe
Nyie mliotawaliwa na mawazo ya kitumwa ndo mnafikiri kwamba mzungu ana akili kuliko kila mtu duniani. Wangekuwa na akili wangeruhusu mambo ya ushoga kwenye mifumo yao ya kisheria, fikiri kwa makini ndugu..
 
We have to take extraordinary measures, hawawezi kuhujumu nchi halafu wajifiche kwenye mwamvuli wa legal system, no way..
Kwahiyo hizo mnazochukua ndiyo extraordinary measures? Zitasaidia nini tutakapoamriwa na mahakama za kimataifa tulipe mabilioni kwa maamuzi yetu ya kukurupuka kuzuia makinikia?
 
Kwahiyo hizo mnazochukua ndiyo extraordinary measures? Zitasaidia nini tutakapoamriwa na mahakama za kimataifa tulipe mabilioni kwa maamuzi yetu ya kukurupuka kuzuia makinikia?
Ndo maana tumeipa serikali mamlaka, hatujaweka pale kundi la watu ambao hawajielewi
 
Inasema pia wataendelea na kesi yao waliyoifungua huko mambele dhidi ya Tanzania

JPM keshaona mbele giza. Raia wanahoji Noah ziko wapi?

Kwa nini asiende mahakamani na zile professorial rubbish tulipwe matrilioni yetu. Wale maprofessa wameiabisha nchi na kuisababishia hasara. Wamekimbiza wawekezaji na kuonyesha nchi haina wasomi. Hawana tofauti na wahujumu uchumi.
 
Hivi Accasia wao Ni wasafi.mbona wanalalamikiwa Hadi na shear holder wao wakubwa kuwa wamekuwa wakijuhusicha Sana na vitendo vya rushwa
Mkuu, kimsingi Accacia pamoja na Barrick wote wamekua wakihusishwa kwenye hizi tuhuma za rushwa.
Hapa ukinitazama hii issue ni kwamba..... Barrick ndio walikubali kufanya mazungumzo na serikali ya Tanzania, na hii inaonyesha kukubali kwao ni ishara ya kwamba kuna kosa ama makosa waliyafanya. Na kumbuka kwamba Barrick alimuuzia Accacia share kubwa kwenye migodi yake hapa Tanzania, hivyo Accacia anaona kwamba hausiki kwa lolote na hakuna kosa alilo lifanya dhidi ya serikali ya Tanzania, na ndiomaana akaamua hata pale mwaka jana kuifungulia serikali ya Tanzania mashtaka huko kwenye Mahakama ya kimataifa.
 
Mimi nime like ila sio dalili nzuri
Kwa sababu umezoea kuwa mtumwa wa wazungu. Na umelelewa kuwa mtumwa wa wazungu. Hao sio wawekezaji ni wachimbaji na wakwapuaji. Kama kuwekeza wanawekeza kwenye mashine zao za kuongeza ufanisi wa kuchimba madini mengi, lakini sio kwenye muundo mbinu kwa ajili ya watanzania.

Naomba tofautisha kati ya uwekezaji kwenye infrastructure kama maji safi, barabara bora, Energy, shule na research Centers na uwekezaji kwenye equepment.
Utaona ni vitu viliwili tofauti. Uwekezaji wa infrastructure hata wewe, watoto na wazazi wako wananufaika, lakini huo wa pili wewe na familia yako hampati kitu.

Bado unaona sawa kuendelea kuwa na wawekezaji wa aina hiyo? Acha ku-Quote maneno angalia pia maana yake!
 
Kwa sababu umezoea kuwa mtumwa wa wazungu. Na umelelewa kuwa mtumwa wa wazungu. Hao sio wawekezaji ni wachimbaji na wakwapuaji. Kama kuwekeza wanawekeza kwenye mashine zao za kuongeza ufanisi wa kuchimba madini mengi, lakini sio kwenye muundo mbinu kwa ajili ya watanzania.
MANENO kuntu
Naomba tofautisha kati ya uwekezaji kwenye infrastructure kama maji safi, barabara bora, Energy, shule na research Centers na uwekezaji kwenye equepment.
Utaona ni vitu viliwili tofauti. Uwekezaji wa infrastructure hata wewe, watoto na wazazi wako wananufaika, lakini huo wa pili wewe na familia yako hampati kitu.

Bado unaona sawa kuendelea kuwa na wawekezaji wa aina hiyo? Acha ku-Quote maneno angalia pia maana yake!
 
Hakuna Tanzania yenye neema chini ya Magufuli, ni watu kupigwa risasi kama Lissu,kutekwa na kupotezwa, kuvuruga upinzani na kuua uchumi wa nchi.
Kikwete alituachia balaa...
Nafikiri Kikwete ndiye aliyekuwa balaa...

Hivi sasa tungekuwa tuna chinjana kama kuku.
 
Back
Top Bottom