Rooney
JF-Expert Member
- Jan 16, 2015
- 3,782
- 3,909
Mkuu 'inawezekana' una hoja ila habari ambayo hatuna ushahidi nayo 'wait' niwe 'mpenz mtazamaji tu'.Hakuna Tanzania yenye neema chini ya Magufuli, ni watu kupigwa risasi kama Lissu,kutekwa na kupotezwa, kuvuruga upinzani na kuua uchumi wa nchi.
Kikwete alituachia balaa...