Ndio maana tunawaambia msipeleke mabakuli yenu kuomba misaadaWewe unafikiri kushabikia wanaume kuingiliana matakoni na hata kushawishi nchi nyingine duniani ni akili ya kawaida? hiyo akili hata ng'ombe hana, huo ni ushetani
Ndio maana tunawaambia msipeleke mabakuli yenu kuomba misaadaWewe unafikiri kushabikia wanaume kuingiliana matakoni na hata kushawishi nchi nyingine duniani ni akili ya kawaida? hiyo akili hata ng'ombe hana, huo ni ushetani
Mzee hiyo misaada wanajipendekeza kutoa kwa malengo yao ya kidiplomasia likiwemo swala la kushawishi sheria za mashoga kwenye nchi husika, tumia akili kufikiri kama unazo. Kumbuka hicho unachoita misaada ni punje ukilinganisha na hayo madini wanayokwapua na saa hizi gesiNdio maana tunawaambia msipeleke mabakuli yenu kuomba misaada
Kwa hiyo unataka waendelee kutuibia kisa ni wawekezaji?Kwa mwendo huu, msahau kabisa habari ya wawekezaji.
Hajielewi, ndo yale mapopoma ya kutukukaKwa hiyo unataka waendelee kutuibia kisa ni wawekezaji?
Naomba nikuulize swaliKwa sababu umezoea kuwa mtumwa wa wazungu. Na umelelewa kuwa mtumwa wa wazungu. Hao sio wawekezaji ni wachimbaji na wakwapuaji. Kama kuwekeza wanawekeza kwenye mashine zao za kuongeza ufanisi wa kuchimba madini mengi, lakini sio kwenye muundo mbinu kwa ajili ya watanzania.
Naomba tofautisha kati ya uwekezaji kwenye infrastructure kama maji safi, barabara bora, Energy, shule na research Centers na uwekezaji kwenye equepment.
Utaona ni vitu viliwili tofauti. Uwekezaji wa infrastructure hata wewe, watoto na wazazi wako wananufaika, lakini huo wa pili wewe na familia yako hampati kitu.
Bado unaona sawa kuendelea kuwa na wawekezaji wa aina hiyo? Acha ku-Quote maneno angalia pia maana yake!