Dio
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 1,274
- 158
Mambo vipi wakuu wangu,poleni na majukumu ya kimaisha
ndugu zangu ninatatizo la kuweka picha kwenye blog yangu zenye ubora,kwa kıfupı kutumıa duka la picha au adobephotoshop siwezı kabısa,
kuna mtu ana ujuzi mwıngne wa kutatua tatizo langu,?.
Jarıbunı kucheck hapa
www.gshayo.blogspot.com
Muwe na wakati mzurı.
ndugu zangu ninatatizo la kuweka picha kwenye blog yangu zenye ubora,kwa kıfupı kutumıa duka la picha au adobephotoshop siwezı kabısa,
kuna mtu ana ujuzi mwıngne wa kutatua tatizo langu,?.
Jarıbunı kucheck hapa
www.gshayo.blogspot.com
Muwe na wakati mzurı.