MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Huenda ni usefull😂😂😂😂
Can a typical Fool like him be that useful?
Huenda ni usefull😂😂😂😂
Sawa ccm ni chama cha upinzani!Na CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala. CCM kama chama cha siasa ilishakufa.
John mpambalu,hilda newton!Kwanini unaihusisha Chadema kama taasisi kwa issue inayohusisha kikundi fulani cha watu walioamua kufanya hayo kwa utashi wao?
Japo siku hizi kumezuka kamchezo cha wengi kufuata zaidi watu badala ya taasisi na wakati mwingine wanaenda mbali zaidi mpaka kujigeuza wasemaji wao ndio maana na wewe mleta mada umeingia mkumbo huo.
Cha machokoSawa ccm ni chama cha upinzani!