Na to be specific ni Us $ 300 extra kuomba reg unayoitaka wewe!unaweza ukaomba reg unayotaka wewe.......ila utalipa zaidi ya ile ambayo TCAA wangekupa wao.......
inawezekana........
Labda wajuzi wa usajili wa vyombo vya anga watusaidie juu ya usajili huo hasa neno CCM,twajua Tanzania usajili wa ndege ni 5H- ,ila CCM hapo sijaelewa
Umejibu maswali ya Njowepo. Astonishingly, hizi ndege zilizonunuliwa baadaye na Mwinyi na Mkapa ni mbovu kuliko hiyo ya 1978. Kuna harufu ya ufisadi kwenye ununuzi wa hizi ndege zingine.Maana ya hii ndege ni Chale Chale Mike. Huwezi kuipa code name kama ndege ya kawaida. Hii ndege ipo toka 1978 ni Fokker F28. Kuna nyingine Fokker 50 na Hiyo Gulfstream G550 and they do not belong to CCM. Kuna government agency (Tanzania Flight Agency) which operates these planes. Kama una mpunga wa kutosha unaweza kukodisha.
5H-CCM (cn 11137) Fokker F28 aka Chale Chale Mike
5H-TGF (cn 20231) Fokker F50
5H-ONE (cn 5039) Gulfsteam G550 aka Tanzania 1
Viwanja vyote vya soka vinavyomilikiwa na ccm vimenunuliwa kutoka wapi?
nakumbuka ulipata kuyasema haya comradeniliwah kusikia kuwa ni ndege ya ccm ila serikali huwa inakodi
CCM ikiondoka Madarakani inaweza ikasema hii ndege ni Mali yake; REG # 5H-CCM
Jaman huo n usajiri2 kam STJ, TZF nk. Mbona kuna magari ya wa2 binafsi yana namba za usajil wa T 268 CCM???.....