Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,671
- 28,977
Mlinzi yuko Uingereza anajificha anahofia maisha yakeHuyo mlinzi kanyongwa au kakatwa kichwa?
Mlinzi yuko Uingereza anajificha anahofia maisha yakeHuyo mlinzi kanyongwa au kakatwa kichwa?
Mkuu Maghayo funguka zaidi kuhusu kuchapiwa mke uyo jamaa..
Idiot mkubwa kabisa. Dubai inajegwa na viongozi wenye maono, wasiokula rushwa. Hizo ni hela zao.Dubai, Qatar etc zinajengwa na mabeberu na watu wa mashariki ya mbali.. Tanzania mabeberu wanatukanwa na Wana siasa na kubezwa.
Tukubalini kuvuta mkia.
Bahati yakeMlinzi yuko Uingereza anajificha anahofia maisha yake
Sasa furaha yake inawahusu nini wananchi wa Dubai? Ila maendeleo aliyoyafanya yanawahusuKinachomuuma ni mke wake kipenzi wa mwisho Haya bint alhussein binti aliyekuwa mfalme wa Jordan kumkimbia kwa kufa kimapenzi na mlinzi wake Muingereza nakuomba talaka.
Kingine Kinachomuuma kazuiliwa kuwaona watoto wake. Jamaa hana furaha kabisa.
Mbona sisi tunasaini mikataba daily na nchi inajivuta sana kwenye suala la maendeleo ya kweli?Nilichomaanisha ni kwamba:, pesa ya makampuni ya mabeberu ndiyo inqjenga Qatar, Saudi etc.
Waraabu hawakujua kuwa wanamafuta, hata baada ya kujua kuwa wanamafuta chini ya ardhi baada ya mabeberu kufanya tafiti bado hawakuwa na nyenzo kazi za kuyatoa ardhini hadi kwenye mapipa.
Ili bidi show asimamie beberu kuchimba na mnunuzi mkubwa akawa ni yeye mwarabu yeye kazi yake ikawa ni kusaini mikataba tu.
Yupo na hiyo nyapu au?amzalishe kabisa. Hawa waarabu ndio wakitaka kuingiza damu ya kiarabu Jumba la Ufalme Buckingham kupitia Princess Diana. Chezeya Kobazi weyee! TakbiiirMlinzi yuko Uingereza anajificha anahofia maisha yake
Huyo jamaa wa dubai itakuwa alikuwa anakukaza sio bureNdio mkuu kwasababu jamaa kapoteza focus mazima. Kwa nje anajikaza kuonyesha yuko sawa lakini ndani kwa ndani anaumia kichiz
Watz si mlikubaliana hampendi maendeleo ya vitu ila demokrasia tu. Tutafuteni demokrasia, maendeleo tuwaachie hao kina dubai huko matter of fact hawana demokrasia ila ni kazi kazi na maendeleo ya miundombinu kwa kasi ya mwangaHaya ndio maendeleo ya Dubai ndani ya miaka michache, waTanzania sisi tumelogwa miaka zaidi ya 50 hakuna jipya.
View attachment 1934527
Wewe umejuaje hayo unayoyaeleza hapa.Hata kama ataoa mwengine jamaa inamuuma maskini mlinzi tena kafiri waif kagongwa nakunogewa nakuomba talaka. Ijatosha licha ya nguvu na hela alizonazo bado tu kazuiliwa kuona watoto wake.
Acha ya mpate tu malipo ni hapa hapa duniani. Ametesa sana vibarua kutoka nchi maskini Africa india Bangladeshi na Pakistani kwa kuwafanyisha kazi kama watumwa kwa masaa mengi na mshahara kidogo hao waliojenga Dubai wengi ni marehemu kwa unyanyasaji na wazima ni wagonjwa. Uchoyo na roho mbaya ukizingatia utajiri Dubai unao. Sasa kagongewa
Hapa tunazungumza Maendeleo na sio personal issue ulipokuja Dubai waliku****raa nini ?Ulikuwa unafanyakazi wapi ulijua Dubai ni bongo nini.Dubai janja janja hakuna unakwenda straight foward .Hata kama ataoa mwengine jamaa inamuuma maskini mlinzi tena kafiri waif kagongwa nakunogewa nakuomba talaka. Ijatosha licha ya nguvu na hela alizonazo bado tu kazuiliwa kuona watoto wake.
Acha ya mpate tu malipo ni hapa hapa duniani. Ametesa sana vibarua kutoka nchi maskini Africa india Bangladeshi na Pakistani kwa kuwafanyisha kazi kama watumwa kwa masaa mengi na mshahara kidogo hao waliojenga Dubai wengi ni marehemu kwa unyanyasaji na wazima ni wagonjwa. Uchoyo na roho mbaya ukizingatia utajiri Dubai unao. Sasa kagongewa
Ukweli mchungu kwa wafia dini wa mudyy..hataki kuamini kua mbabeberu a.k.a amerika ndio wamejenga dubai..hao wavaa kobazi hata mafuta leo mmarekani akisema hanunui hana pa kuyapeleka..kama wana nguvu hiyo ya uchumi waambie wauze mafuta bila kutumia dola ya mmarekani kama nchi haijarudi kwenye jangwa tena.Idiot mkubwa kabisa. Dubai inajegwa na viongozi wenye maono, wasiokula rushwa. Hizo ni hela zao.
Only monkey like you turn to insult:, I will rather pass than argue with a fool and irrational thinker like you.Idiot mkubwa kabisa. Dubai inajegwa na viongozi wenye maono, wasiokula rushwa. Hizo ni hela zao.
With the discovery of oil, the late Sheikh Rashid bin Saeed Al Maktoum began the development of Dubai. He began transforming the city from a small cluster of settlements near Dubai Creek to a modern port, city and commercial hub.Dubai, Qatar etc zinajengwa na mabeberu na watu wa mashariki ya mbali.. Tanzania mabeberu wanatukanwa na Wana siasa na kubezwa.
Tukubalini kuvuta mkia.
With the discovery of oil, the late Sheikh Rashid bin Saeed Al Maktoum began the development of Dubai. He began transforming the city from a small cluster of settlements near Dubai Creek to a modern port, city and commercial hub.
The Discovery of Oil in the Middle East | History of Western Civilization IIWith the discovery of oil, the late Sheikh Rashid bin Saeed Al Maktoum began the development of Dubai. He began transforming the city from a small cluster of settlements near Dubai Creek to a modern port, city and commercial hub.
Mbona sisi tunasaini mikataba daily na nchi inajivuta sana kwenye suala la maendeleo ya kweli?
Tunasaini mikataba ya kinyonyaji.Mbona sisi tunasaini mikataba daily na nchi inajivuta sana kwenye suala la maendeleo ya kweli?
Mkuu kwa hasira hizi utakuwa na wewe umegongewa. Mkishashika vijichenji mnajifanya vimungu mtu konea wengine. Dawa yenu nikuwagongaHapa tunazungumza Maendeleo na sio personal issue ulipokuja Dubai waliku****raa nini ?Ulikuwa unafanyakazi wapi ulijua Dubai ni bongo nini.Dubai janja janja hakuna unakwenda straight foward .
Hebu acha uongo.Mkuu huyo jamaa hana furaha kabisa. Waliyokaribu naye wanadai analaani kichiz mke wake kuliwa na kafiri na maskini hadi kumtoroka. Sasa hivi hata hawezi kuwaona watoto wake. Kuna wakati alichanganyikiwa akawa anaandika mashairi tu.