Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,939
- 20,399
Usiseme zinajengwa na mabeberu bali wachoraji na wabunifu wengi watoka nchi za kibeberu wakisaidiana na wazawa.Dubai, Qatar etc zinajengwa na mabeberu na watu wa mashariki ya mbali.. Tanzania mabeberu wanatukanwa na Wana siasa na kubezwa.
Tukubalini kuvuta mkia.
Fedha wanazolipwa zinatokana na mauzo ya mafuta.
Ipo "clip" ya mwarabu alijibu hoja ya kushangaa kwanini sisi waafrika hatuendelei.
Anasema tumekosa "Good Leadership" jambo ambalo ni kweli.
Uongozi mzuri unojitambua huleta utawala bora.